- 197 views
Gavana wa Tana River Dhadho Godhana ametoa wito kwa serikali ya kitaifa na mashirika ya kibinadamu kujitokeza na kusaidia familia zilizoatharika na mafuriko katika kaunti hiyo. Akizungumza katika makao makuu ya shirika la Msalaba Mwekundu eneo la Hola, Godhana amesema kuwa familia nyingi zilipoteza mali zao katika mafuriko yaliyosababishwa na mvua za El Nino. Aidha familia hizo zimekuwa zikitegemea misaada kukidhi mahitaji yao lakini serikali ya kaunti imelemazwa na juhudi za kutua misaada kwa waathiriwa hao.
Gavana Dhadho Godhana ataka serikali kusaidia familia zilizoatharika na mafuriko
- - 🔴 LIVE|| NEWS NOW ››
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 8 May 2024 - The party's ENDRC last week dismissed all 209 disputes that stemmed from the April 27 exercise.
- 8 May 2024 - Governor Wanga says county has issued demand letters to defaulters.
- 8 May 2024 - During the pre-trial hearing on Tuesday, the lawmaker said he had been forced to enhance his security.
- 8 May 2024 - They had threatened to sign their own return-to-work formula and table it in court
- 8 May 2024 - Lost keys took the fun out of a trip out of town that ended late
- 8 May 2024 - Top security officials in Washington DC to finalise deployment logistics.
- 8 May 2024 - UK tea giant Lipton to sell 15pc stake to local farmers in deal
- 8 May 2024 - Kibor's widow claims she is on the verge of eviction
- 8 May 2024 - Striking doctors, state return to court after failing to reach deal
- 8 May 2024 - Onchong’a, the camp coordinator, tipped the likes of East Africa U18 and U20 champions Daniel Wasike (100m/200m) and James Gechuki (800m) to make the cut.