Skip to main content
Skip to main content

Gavana Natembeya asema mawaziri wa rais Ruto hawana ujasiri

  • | NTV Video
    154 views
    Duration: 1:16
    Gavana wa Trans Nzoia, George Natembeya, ameendelea kuzua vumbi la kisiasa baada ya kumshambulia vikali baraza la mawaziri la rais William Ruto, akidai kuwa mawaziri hao ni hawana ujasiri na wanashindwa kumshauri rais kwa uwazi. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya