- 7,072 viewsDuration: 4:55Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja hatimaye ametia saini mkataba wa ushirikiano na serikali ya kitaifa ambayo sasa itatekeleza baadhi ya majukumu yake. Mkataba huo utakaoanza kutekelezwa siku kumi na nne kuanzia hii leo, utaipa kaunti ya nairobi shilingi bilioni 80 zaidi kuimarisha sekta mbalimbali jijini. Rais William Ruto na gavana Sakaja inasema hatua itasaidia kuimarisha huduma za jiji kuu