Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Kaunti ya Trans Nzoia George Natembeya alalamikia semi za chuki kwenye kampeni

  • | Citizen TV
    918 views
    Duration: 1:41
    Gavana wa Kaunti ya Trans Nzoia, George Natembeya, ambaye pia ni Naibu Kinara wa chama cha DAP-Kenya, amelalamikia utepetevu katika idara ya polisi pamoja na tume ya uwiano na utangamano wa kitaifa - NCIC