Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Kirinyaga azindua ujenzi wa chuo cha matibabu (KMTC)

  • | Citizen TV
    372 views
    Duration: 1:30
    Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru amezindua ujenzi wa Chuo cha Mafunzo ya Tiba Kenya (KMTC) cha kwanza Kirinyaga, karibu na Hospitali ya Rufaa ya Kerugoya.