- 299 views
Gavana wa Kisumu Anyang Nyongo amesema kuwa serikali ya kaunti itafidia baadhi ya waathiriwa waliyopoteza mali yao kutokana na ubomoaji jijini humo. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kanuni za maendeleo za jiji la Kisumu, gavana Nyongo alisema kuwa serikali yake itabuni sheria zitakazotoa mfumo wa fidia kwa waathiriwa wa ubomoaji. Haya yanajiri wakati ambapo mashirika mbalimbali yamewasilisha malalamishi kortini dhidi ya serikali ya kaunti kufuatia ubomoaji katika muda wa miaka mitatu iliyopita. Baadhi ya miradi itakayotekelezwa katika kanuni hizo ni pamoja na ujenzi wa majumba ya kisasa na barabara.
Gavana Wa Kisumu atangaza kuwafidia baadhi ya waathiriwa wa ubomoaji
- - 🔴LIVE|| DAILY REPORT ››
- 1 May 2024 - Six people were rescued on Wednesday morning after floods marooned homesteads in Kitengela, Kajado County following a heavy downpour.
- 1 May 2024 - World Bank President Ajay Banga said he expects donor countries to meet a request by African leaders to make record contributions to a low-interest facility for developing nations, saying these were not handouts but investments in the future.
- 1 May 2024 - A 35-year-old man has been locked up at Bondo police station after he was arrested in possession of seeds of bhang.
- 1 May 2024 - The Islamic State group has claimed a gun attack on a minority Shiite mosque in western Afghanistan that killed six people on Monday.
- 1 May 2024 - Heavy rains pounded the city of Nairobi and its environs causing tragedy across the city, more so in Kitengela.
- 1 May 2024 - Media personality Michael Oyier requiem mass scheduled for Wednesday at All Saints Cathedral Church in Nairobi.
- 1 May 2024 - Florence Akinyi, a resident, said they encountered snakes of different types and sizes on a daily basis.
- 1 May 2024 - As early as 2 am Wednesday, several homes were submerged by floods.
- 1 May 2024 - Atwoli and Fazul have been in a bitter exchange of words due to deductions private security guards remit to the union.
- 1 May 2024 - Any health facility within Zipline service radius will receive the necessary products within 45 minutes