- 411 viewsGhana inakabiliwa na wimbi la taarifa potofu zenye madhara. Baadhi ya waandishi wa habari wana matumaini ya kukabiliana na hali hiyo kwa kutoa ripoti sahihi. Mradi wa Media Foundation for West Africa Kwaku Asante anaongoza timu ya waandishi wa habari wa kuhakiki ukweli, Fact-Check Ghana, mradi wa Media Foundation for West Africa, wenye makao yake katika mji mkuu, Accra. Timu hiyo ina kazi ngumu ya kupambana na habari potofu na upotoshaji kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari vya kawaida. Asante anasema yeye na wanahabari wenzake wana kazi kubwa ya kufanya kuhusu changamoto hiyo. Kiongozi wa Timu ya Fact Check Kwaku Asante, kiongozi wa timu ya Fact Check Ghana anasema: “Kuna taarifa nyingi potofu huko nje. Ukiamka asubuhi unakuta kuna mambo mengi yanayoulizwa. Je, unaweza kuliangalia hili kwa ajili yetu? Je, hizi ni taarifa sahihi? Je, hii ni kweli? Kuna yeyote wa kutusaidia? Kisha tunafika na kusema, “ndiyo, tumeichunguza. Huu ndio ukweli. Hii si sahihi, na hii ni taarifa sahihi.” Kuhakiki ukweli, ni kazi ambayo Asante anaipenda, kwa miaka mitano iliyopita, alifanya kazi kuwajuza raia wa Ghana na taarifa sahihi. Kwaku Asante, kiongozi wa timu ya Fact-Check Ghana asema: “Inanipa furaha kubwa kujua kwamba unafanya kitu ambacho kinaleta matokeo mazuri na ushawishi wa moja kwa moja kwa watu, kwa sababu habari za uongo zinaweza kuwa na athari mbaya sana, tizama kipindi cha Covid 19 ambapo kulikuwa na mtiririko wa habari za uongo.” Ripoti ya Isaac Kaledzi, VOA, Accra, Ghana. #ghana #factcheck #factchecking #voa #uchunguzi #uhakiki #habaripotofu #accra #waandishi
Ghana yakabiliwa na wimbi la taarifa potofu zenye madhara
- 17 Jun 2025 - President William Ruto has signed the Anti-Money Laundering and Combating of Terrorism Financing Laws (Amendment) Bill, 2025 into law.
- 17 Jun 2025 - The Higher Education Loans Board (HELB) has announced that over Ksh.40 billion is still outstanding from loan defaulters who borrowed from last year to as far back as over two decades ago.
- 17 Jun 2025 - A federal judge said on Monday that she would issue a brief extension of an order temporarily blocking President Donald Trump's plan to bar foreign nationals from entering the U.S. to study at Harvard University while she decides whether to issue a…
- 17 Jun 2025 - The victim, identified by locals as Moureen, was found lying in a pool of blood with her throat slit, prompting widespread shock and outrage in the quiet village.
- 17 Jun 2025 - Suba North Member of Parliament (MP) Millie Odhiambo has called for thorough investigations into the alleged suicide incident of arrested fisherman at Kipasi police post in Suba North constituency on Sunday.
- 17 Jun 2025 - The national government has launched a Ksh.60 million relief programme for Tana River residents affected by perennial flooding.
- 17 Jun 2025 - Hezena said the prominent family had threatened her late father years ago.
- 17 Jun 2025 - Ugandan President Yoweri Museveni has signed legislation that allows military tribunals to try civilians, parliament said on Monday, a move opposition leaders said violates a Supreme Court ruling.
- 17 Jun 2025 - Ugandan President Yoweri Museveni has signed legislation that allows military tribunals to try civilians, parliament said on Monday, a move opposition leaders said violates a Supreme Court ruling.
- 17 Jun 2025 - HELB recently blacklisted 71,806 loan defaulters.