Skip to main content
Skip to main content

Gwaride la kijeshi la China laonyesha makombora makubwa ya kivita

  • | BBC Swahili
    16,138 views
    Duration: 1:56
    China imezindua silaha kubwa katika gwaride la kijeshi lililofanyika kuadhimisha ushindi wake dhidi ya Japan katika Vita vya Pili vya Dunia. Miongoni mwa silaha zinazoonyeshwa ni 'robot-wolves' ambazo zinaweza kutumika kwa uchunguzi na kombora la Dongfeng-5, ambalo linaweza kutumika kulenga Marekani, kwa mujibu wa mtaalamu wa masuala ya ulinzi Alexander Neill . #bbcswahili #china #japan Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw