Haji Manara: Sikuwahi kufikiria ningewahi kufanya kazi klabu mbili
Haji Manara @hajismanara ni Mwanahabari na aliyekuwa Msemaji wa zamani wa vilabu vya Simba na Yanga.
Je anajutia kutoka Simba kwenda Yanga? Je ni msemo gani aliwahi kuutoa katika kuhamasisha soka ambao anajivunia? ungependa kujua ndoa nyingine lini?
@hajismanara atazungumza yote haya katika Nyota wa Afrika Masharaiki na @regina_mziwanda kuanzia majira ya saa nane mchana kupitia ukurasa wa BBCSwahili YouTube na Facebook
#bbcswahili #tanzania #nyotawaafrikamashariki
Chapters
0:00:00 - Haji Manara ni nani?
0:06:10 - Kuitwa Simba kuwa msemaji
0:08:26 - Kipaji cha uhamsishaji alisomea wapi
0:10:20 - Utambulisho bora aliowahi kuufanya mpirani
0:16:35 - Kuhitajika wiki ya wananchi 2025
0:23:16 - Uelekeo wa soka la Tanzania
0:25:50 - Kudanganya umri soka la vijana
0: 33:00 - Uwekezeji wa viwanja bila mbinu
0:40:00 - Manara na Uchawa
0:46:41 - Mipango ya kuoa tena
0: 54:34 - Misemo yake anayojivunia
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
28 Jul 2025
- Kenyans have been urged to comply with the set rules.
28 Jul 2025
- The clashes began on Monday afternoon.
28 Jul 2025
- The man had been arrested.
28 Jul 2025
- Bandits in northwestern Nigeria's Zamfara state have slaughtered 33 people they had kidnapped in February despite receiving a $33,700 ransom, while three babies died in captivity, local officials and residents said Monday.
28 Jul 2025
- According to the ministry, the organization is non-existent and not affiliated with the government.
28 Jul 2025
- The gang, believed to comprise five members, struck in broad daylight, but three of the suspects managed to escape.
28 Jul 2025
- Health Cabinet Secretary Aden Duale has issued a sweeping directive for nationwide hospital reforms following what he termed a "systems failure" at Kenyatta National Hospital (KNH), which led to the tragic death of Edward Maingi Ndegwa.
28 Jul 2025
- Charlene Ruto forgives Webster Ochora Elijah, a man accused of writing her unauthorised biography, to formally drop charges on August 19.
28 Jul 2025
- Kenyans have been urged to comply with the set rules.
28 Jul 2025
- Push to remove Passaris from office now officially underway.
28 Jul 2025
- The clashes began on Monday afternoon.
28 Jul 2025
- The Ministry of Health on Monday convened a National cancer forum, bringing together health experts, institutional partners, and policymakers to address rising cancer cases and the need for accessible, quality treatment across the country.
28 Jul 2025
- The President pointed out that while meaningful and significant progress has been made in providing the world with more sufficient, safe, and nutritious food, more needs to be done to make it a universal success.