Hali ya utulivu mjini Damascus baada ya kupinduliwa Rais wa zamani Assad
Video zilizorekodiwa na ndege zisizokuwa na rubani katika mji mkuu wa Syria, Damascus, zinaonyesha kwamba shughuli zinaendelea kama kawaida.
Benki zimefunguliwa kwa mara ya kwanza tangu kuanguka kwa utawala wa Bashar al-assad, ikiwa ni hatua inayoashiria kurejea kwa hali ya kawaida nchini humo.
Video pia zinaonyesha maduka yakiwa yamefunguliwa, sawa na shughuli za ujenzi kuendelea. Usafi pia unaendelea mjini.
Hatua ya kupinduliwa kwa utawala wa Bashar imepelekea nchi kadhaa katika eneo hilo na nchi zenye ushawishi mkubwa duniani kuwa na wasiwasi kuhusu hali ya baadaye ya Syria baada ya waasi kuchukua udhibithi wa nchi.
Wakazi wa Damascus wameonekana wakifanya usafi huku wengine wakipiga picha karibu na gari la kijeshi, siku chache baada ya waasi kuudhibiti mji huo.
Wakazi wameelezea matumaini kwamba maisha yao yanakuwa sawa baada ya kuanguka kwa utawala wa rais Bashar al-Assad.
Baadhi yao wameonekana wakikanyaga picha ya rais aliyepinduliwa na kuyasifu mataifa yote ya kiarabu kwa ushindi huo.
Waziri mkuu wa Assad, Mohammed Jalali, amekubali kuachia madaraka kwa waasi. - Reuters
#syria #damascus #alassad #voa
17 Jun 2025
- The matatu operators promised to halt transport services until their demands are met.
17 Jun 2025
- Protests on Tuesday took a violent turn after goons stormed the Nairobi CBD.
17 Jun 2025
- The police officer was caught on camera shooting the man.
17 Jun 2025
- Siaya Resident Magistrate’s Court has ordered blogger Michael Oduor, also known as Mike Ochieng, to pay Ksh.3 million in general damages for defamation.
17 Jun 2025
- Anti-riot police officers on Tuesday opened fire at a hawker selling face masks at close range along Moi Avenue in Nairobi CBD during the demonstrations calling for the resignation of Deputy Inspector General Eliud Lagat.
17 Jun 2025
- Seven police officers suspected of shooting and killing Daniel Mwangi in London Estate, Nakuru, on June 9, have been detained for seven more days, pending investigations by Independent Policing Oversight Authority (IPOA).
17 Jun 2025
- The Bill had also called for a review of statutory deductions, such as the NHIF, NSSF, and housing levy, to a progressive structure
17 Jun 2025
- Court rules that Mr Wilfred Nyagudi suffered reputational harm as a result of the posts which first appeared on Facebook.
17 Jun 2025
- A protester was reportedly shot dead in the CBD.
17 Jun 2025
- Karua said killing of man in CBD was “another extra judicial execution.”
17 Jun 2025
- Despite a heavy presence of police in Kisumu, the city did not witness any demonstrations
17 Jun 2025
- Images seen by the Star, show the deceased shot at close range by a police officer
17 Jun 2025
- The matatu operators promised to halt transport services until their demands are met.