Skip to main content
Skip to main content

Hali ya wasiwasi yakumba wakazi wa shamba la Kedong baada ya tangazo la kuuzwa kwa shamba hilo

  • | Citizen TV
    461 views
    Duration: 3:32
    Hali ya wasi wasi imetanda katika shamba la Kedong lililoko kaunti ya Nakuru baada ya watu wasiojulikana kuweka makasha yenye maandishi ya kutangaza kuuzwa kwa shamba hilo ambalo limekumbwa na mzozo wa muda mrefu. Wakazi wanaoishi kwenye ardhi hiyo kutoka jamii ya Maasai wanasema licha ya kuwepo kwa kesi mahakamani kuhusu umiliki wa ardhi hiyo, wamepigwa na butua kuona mabango ya kutangaza kuuzwa kwa shamba hilo