- 1,450 viewsDuration: 2:34Ida Odinga amehojiwa leo na kamati ya bunge kuhusu masuala ya kigeni kuhusiana na uteuzi wake kuw abalozi wa kenya katika shirika la umoja wa mataifa kuhusu mazingira - UNEP. Ida ameahidi kufanya kipaumbele ajenda za Kenya kimataifa kwenye masuala ya mazingira. Na kama anavyoarifu