Skip to main content
Skip to main content

Idadi ya vifo Nairobi yafikia 25 huku shughuli za uokoaji zikiendelea

  • | Citizen TV
    25,460 views
    Duration: 3:48
    Watu 25 wamethibitishwa kufariki huku 29 wakiokolewa kufuatia mvua kubwa iliyonyesha ijumaa usiku na kusababisha mafuriko. Kaunti ya Nairobi iliathirika pakubwa na mafuriko hayo huku vifo vya watu 23 vikiripotiwa