Skip to main content
Skip to main content

Idara ya hali ya anga yaonya kuhusu mvua zaidi nchini huku vifo vikifikia watu 25

  • | Citizen TV
    2,334 views
    Duration: 2:43
    Mvua kubwa inayonyesha itaendelea katika maeneo mbalimbali nchini. Kwa mujibu wa idara ya utabiri wa hali ya anga, maeneo kadhaa nchini yatapata mvua kubwa kwa siku tatu zijaazo. Kaunti za nairobi, kiambu, kajiado, na maeneo ya magharibi mwa nchi na bonde la ufa ndio yameathirika zaidi na gharikakatika kipindi cha saa 24 zilizopita.