- 287 views
Idara ya usalama kaunti ya kakamega imezindua utumizi wa mtambo wa elektroniki utakaosaidia kuwanasa wanasiasa ambao wataeneza semi za chuki miongoni mwa wapiga kura msimu huu wa kampeni. Akizungumza na wanahabari kabla ya kuanza rasmi zoezi la mbio za amani za kilomita saba mjini kakamega,kamishna wa kaunti ya kakamega john ondego, amewataka wanasiasa kueneza jumbe za amani na kutowatumia vijana kwa kuwapa mihadarati ili kuzua vurugu. Kwa upande wake mkuu wa polisi kaunti hiyo Joseph kigen, amewaonya wanasiasa dhidi ya kutumia vijana kuvuruga amani huku akiwataka kutumia fursa hiyo kueneza amani miongoni mwa wananchi.
Idara ya usalama Kakamega yaanza mpango wa kurekodi mikutano
- - LIVE| TV47 Matukio ››
- - The health impasse ››
- 26 Apr 2024 - Two Kenya Airways (KQ) employees have been arrested in the Democratic Republic of Congo's capital Kinshasa.
- 26 Apr 2024 - Kirinyaga Governor Anne Waiguru has initiated emergency disaster response measures to deal with floods and other emergencies arising from heavy rains that have hit the County.
- 26 Apr 2024 - A fuel tanker transporting Liquefied Petroleum Gas (LPG) on Friday overturned along the Londiani-Muhoroni Road at Lesirwo area, Kericho County, causing a gas leak on the busy road.
- 26 Apr 2024 - A 52-year-old suspected paedophile has been sentenced to 20 years behind bars for defiling a 12-year-old girl in Taita Taveta.
- 26 Apr 2024 - Kenya has welcomed the swearing in of the Haiti Transitional Presidential Council (TPC), promising to support it in its quest to liberate and lead the troubled Caribbean nation overrun by armed gangs.
- 26 Apr 2024 - Haitian Prime Minister Ariel Henry has resigned, his office said on Thursday, as a transitional council took power intending to return stability to a country where gang violence has caused chaos and misery.
- 26 Apr 2024 - The flood disaster that hit Mathare on Tuesday evening and Wednesday morning has brought to light the togetherness of the residents living in the informal settlements.
- 26 Apr 2024 - A 35-year-old rape suspect is nursing a gunshot wound at Siaya County Referral Hospital after he was shot for attacking and seriously injuring a police constable in Alego/Usonga Sub-county.
- 26 Apr 2024 - The boss noted that claims by various CSs were shameful.
- 26 Apr 2024 - PS Kipsang says preparations were underway for the opening.