- 130 viewsIdara ya Usalama nchini Kenya imeanza kutumia michezo kuileta karibu jamii ikiwa ni hatua ya kuhamasisha amani, ikitambua kuwa hususan wanawake wana mchango mkubwa katika kuimarisha usalama nchini humo. Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti kamili kuhusu mradi huo unaoshirikisha shirika la kimataifa... #idara #usalama #kenya #michezo #wananchi #amani #voa #voaswahili #raia #wanawake - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Idara ya Usalama Kenya yatumia michezo kujenga ushirikiano na jamii
- 26 Apr 2024 - A 13-year-old girl made a first appearance in court in Wales on Friday on three counts of attempted murder after two teachers and a pupil were stabbed at a secondary school.
- 26 Apr 2024 - Manyatta Member of Parliament Gitonga Mukunji has raised concerns over the inactive state of the Rehabilitation Fund established to combat drug and substance abuse in the country.
- » 'Don't associate us with hustler culture,' Tanzania rubbishes claims of exporting fake fertilizer to Kenya26 Apr 2024 - Tanzania's minister of Agriculture Hussein Bashe has responded to allegations made by popular Kenyan lawyer Ahmednassir Abdullahi regarding the origin of the fake fertilizer circulating the country
- 26 Apr 2024 - In a statement on X on Friday, KeNHA cautioned that the wearing away of the causeway poses potential hazards to motorists using the adjacent service road
- 26 Apr 2024 - The burial of Senior Sergeant John Kinyua Muriithi, who died in a helicopter crash two weeks ago, is currently underway in Kirinyaga County.
- 26 Apr 2024 - A 24-year-old suspected drug trafficker was on Friday arrested after police discovered 417 grams of cocaine, worth an estimated Ksh.1.8 million, concealed under the inner sole of his shoes.
- 26 Apr 2024 - Two Kenya Airways (KQ) employees have been arrested in the Democratic Republic of Congo's capital Kinshasa.
- 26 Apr 2024 - "Please, do not associate us with the popular hustler culture," Bashe said.
- 26 Apr 2024 - Scores of the passengers escaped with minor injuries
- 26 Apr 2024 - A section of Kenyans had raised concerns over private information provided during the search.