Skip to main content
Skip to main content

IEBC itaanzisha upya usajili wa wapiga kura kesho

  • | KBC Video
    96 views
    Duration: 2:33
    Tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC itarejelea shughuli endelevu ya usajili wa wapiga kura hapo kesho, ikiwapa wakenya waliotimu umri fursa ya kujisajili kuwa wapiga kura au kusasisha taarifa zao kujiandaa kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. IEBC imesema shughuli hiyo itatekelezwa katika ofisi za maeneo bunge yote kote nchini, isipokuwa maeneo yanayojiandaa kwa chaguzi ndogo mwezi Novemba. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive