- 56 views
Tume huru ya uchaguzi na mipaka ,IEBC sasa inatafuta huduma ya madalali kuwasaka wanasiasa ,walalamishi na kampuni nyingine kadhaa kwa kushindwa kulipa tume hiyo ,jumla ya shilingi million 400 kuambatana na maagizo ya mahakama.Akiongea alipofika mbele ya kamati ya bunge kuhusu uhasibu wa pesa za umma,afisa mkuu mtendaji wa tume hiyo Hussein Marjan amesema baadhi ya watu waliopoteza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi dhidi ya tume hiyo, na kuagizwa na mahakama kugharamia kesi hizo ,wametafuta huduma ya mawakili wakijaribu kukwepa kulipa pesa tume hiyo inawadai.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
IEBC kunadi mali ya wanasiasa walio na madeni yake
- - Lewa Marathon 2025 ››
- 29 Jun 2025 - Iran has expanded access to its airspace for international overflights following a ceasefire with Israel, though flight restrictions remain in place across much of the country, an official said Saturday.
- 29 Jun 2025 - Rwanda and the Democratic Republic of Congo have signed a peace agreement Washington to end fighting that has killed thousands, with the two countries pledging to pull back support for guerrillas -- and President Donald Trump boasting of securing…
- 29 Jun 2025 - South Africa's Democratic Alliance (DA), a member of the ruling unity government, said Saturday that it was withdrawing from a "national dialogue" grouping aimed at tackling the problems dogging the country.
- 29 Jun 2025 - Police in Kisii have launched an investigation aimed at cracking down on fraudsters conning M-Pesa shop owners in Kisii Town, Keumbu, and surrounding areas.
- 29 Jun 2025 - History shows Gen Z demos will continue to push for real change
- 29 Jun 2025 - Gen Z protests: Let's deflate the national anger
- 29 Jun 2025 - When the State hires thugs to fight its citizens, it loses war on criminals
- 29 Jun 2025 - DCI officer strangled me over protest clips
- 29 Jun 2025 - Gachagua in unfamiliar territory as 'mobiliser of demonstrations'
- 29 Jun 2025 - Ruto supports shoot-to-kill order as Murkomen shifts stance after rebuke