Skip to main content
Skip to main content

IEBC yalalamikia idadi ndogo ya wakenya waliosajiliwa upya

  • | Citizen TV
    398 views
    Duration: 2:13
    Tume ya uchaguzi nchini imelalamika idadi ndogo ya wakenya wanaojitokeza kujisajili kama wapiga kura. Inasemekana kuwa, wakenya wengi bado hawajakuMbatia zoezi linaloendelezwa na maafisa wa IEBC nchini hasaa miongoni mwa vijana.