- 398 viewsDuration: 2:13Tume ya uchaguzi nchini imelalamika idadi ndogo ya wakenya wanaojitokeza kujisajili kama wapiga kura. Inasemekana kuwa, wakenya wengi bado hawajakuMbatia zoezi linaloendelezwa na maafisa wa IEBC nchini hasaa miongoni mwa vijana.