Iran yatekeleza programu ya anga za juu ambayo inakosolewa na nchi za Magharibi
Iran ilisema Ijumaa imefanya zoezi la mafanikio la kurusha chombo cha anga za juu, kwa ajili ya programu yake mpya ambayo nchi za Magharibi zinadai inaboresha programu ya Tehran ya makombora ya balistiki.
Iran ilifanya zoezi hilo la kurusha chombo hicho kwa kutumia programu ya Simorgh, chombo cha satellite kinachobeba roketi huku mara kadhaa urushaji huo ulifeli, katika kituo cha anga za juu cha Iran cha Imam Khomeini katika kijiji kwenye jimbo la Semnan.
Hili ni eneo la programu ya anga za juu kwa malengo ya kiraia ya Iran.
Hakuna uthibitisho huru wa hapohapo kuwa urushaji huo ulikuwa na mafanikio.
Jeshi la Marekani halikutoa maoni yoyote mara moja walipoombwa kufanya hivyo.
Tangazo hilo limekuja wakati mivutano imeongezeka katika eneo kubwa la Mashariki ya Kati juu ya vita vya Israel vinavyoendelea dhidi ya Hamas katika Ukanda wa Gaza na wakati sitisho la mapigano linalolegalega huko Lebanon.
Marekani siku za nyuma ilisema urushaji wa satellite unaofanywa na Iran unakwenda kinyume na azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kuitaka Tehran kutojihusisha na harakati zozote zinazohusisha makombora ya balisitiki ambayo yana uwezo wa kusafirisha silaha za nyuklia. Vikwazo vya UN kuhusiana na programu ya makombora ya balisitiki ulikwisha muda wake Oktoba 2023. -AP
#voaswahili #afrika #israel #gaza #hamas #iran #satellite #makombora #balistiki #israel #gaza #voa
6 Aug 2025
- The government has already threatened to sack police officers and chiefs in some parts of the country.
6 Aug 2025
- Kiambu is among the nine counties that make up the Mount Kenya Bloc.
6 Aug 2025
- 12 counties are set to benefit heavily.
6 Aug 2025
- A woman has been found guilty of killing her lover back in 2020 in Nanyuki County.
6 Aug 2025
- Human rights activists are calling for the disbandment of the National Police Service (NPS) following damning revelations in the latest EACC corruption index, which ranks the security organ among the most corrupt institutions in the country.
6 Aug 2025
- Cabinet Secretary for Public Service Geoffrey Ruku has issued a stern warning to corrupt public officers, calling on the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) to swiftly arrest all individuals implicated in recent graft reports.
6 Aug 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has declared his support of the proposal for the United States to review Kenya's designation as a major non-North Atlantic Treaty Organization (NATO) ally.
6 Aug 2025
- Six senior officials from the Busia County Government have been arrested over allegations of misappropriating public funds through irregular procurement processes involving tenders worth Ksh.1.4 billion.
6 Aug 2025
- In a historic move to combat one of the most common sexually transmitted infections (STIs), the National Health Service (NHS) has launched the world’s first gonorrhoea vaccination programme in England, targeting individuals most at risk of infection.
6 Aug 2025
- The government has already threatened to sack police officers and chiefs in some parts of the country.
6 Aug 2025
- Ring-necked parrots, green- and yellow-fronted canaries intercepted at Lagos Airport
6 Aug 2025
- Nairobi Traffic Commandant Joseph Chirchir said roads near Moi International Sports Complex, Kasarani and Nyayo National Stadium will face full or partial closures to ease movement around the stadium.
6 Aug 2025
- Kiambu is among the nine counties that make up the Mount Kenya Bloc.