Iran yatekeleza programu ya anga za juu ambayo inakosolewa na nchi za Magharibi
Iran ilisema Ijumaa imefanya zoezi la mafanikio la kurusha chombo cha anga za juu, kwa ajili ya programu yake mpya ambayo nchi za Magharibi zinadai inaboresha programu ya Tehran ya makombora ya balistiki.
Iran ilifanya zoezi hilo la kurusha chombo hicho kwa kutumia programu ya Simorgh, chombo cha satellite kinachobeba roketi huku mara kadhaa urushaji huo ulifeli, katika kituo cha anga za juu cha Iran cha Imam Khomeini katika kijiji kwenye jimbo la Semnan.
Hili ni eneo la programu ya anga za juu kwa malengo ya kiraia ya Iran.
Hakuna uthibitisho huru wa hapohapo kuwa urushaji huo ulikuwa na mafanikio.
Jeshi la Marekani halikutoa maoni yoyote mara moja walipoombwa kufanya hivyo.
Tangazo hilo limekuja wakati mivutano imeongezeka katika eneo kubwa la Mashariki ya Kati juu ya vita vya Israel vinavyoendelea dhidi ya Hamas katika Ukanda wa Gaza na wakati sitisho la mapigano linalolegalega huko Lebanon.
Marekani siku za nyuma ilisema urushaji wa satellite unaofanywa na Iran unakwenda kinyume na azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kuitaka Tehran kutojihusisha na harakati zozote zinazohusisha makombora ya balisitiki ambayo yana uwezo wa kusafirisha silaha za nyuklia. Vikwazo vya UN kuhusiana na programu ya makombora ya balisitiki ulikwisha muda wake Oktoba 2023. -AP
#voaswahili #afrika #israel #gaza #hamas #iran #satellite #makombora #balistiki #israel #gaza #voa
17 Jun 2025
- The matatu operators promised to halt transport services until their demands are met.
17 Jun 2025
- Protests on Tuesday took a violent turn after goons stormed the Nairobi CBD.
17 Jun 2025
- The police officer was caught on camera shooting the man.
17 Jun 2025
- Anti-riot police officers on Tuesday opened fire at a hawker selling face masks at close range along Moi Avenue in Nairobi CBD during the demonstrations calling for the resignation of Deputy Inspector General Eliud Lagat.
17 Jun 2025
- Karua said killing of man in CBD was “another extra judicial execution.”
17 Jun 2025
- The matatu operators promised to halt transport services until their demands are met.
17 Jun 2025
- He asked the former Deputy President to apologise to the Kamba community
17 Jun 2025
- NAIROBI CBD protests: Man fatally shot on Moi Avenue; tension high outside Bliss Medical Centre where he was rushed after the incident.
17 Jun 2025
- City car dealer and businessman Joseph Kairo Wambui, alias Khalif Kairo has filed an application seeking the recusal of Senior Principal Magistrate M. Murage from presiding over his ongoing criminal trial, citing alleged bias and a compromised…
17 Jun 2025
- Ndung'u and daughter savour Mombasa victory
17 Jun 2025
- Protests on Tuesday took a violent turn after goons stormed the Nairobi CBD.
17 Jun 2025
- Final phase of National Wildlife Census kicks off
17 Jun 2025
- Three men have been charged with the murder of Kasipul MP Charles Ong'odo Were.