Skip to main content
Skip to main content

Israel yazidi kubadilisha sura ya Gaza: Nini kinaendelea?

  • | BBC Swahili
    6,181 views
    Duration: 2:29
    Vikosi vya Israel vinaendeleza operesheni ya ardhini Gaza kwa siku ya tatu, vikilenga kuwamaliza wapiganaji wa Hamas na kuwaokoa mateka. Zaidi ya watu 60 wameuawa, huku milipuko ikisikika usiku kucha. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw