- 1,615 views
Jaji Mkuu Martha Koome ametoa hakikisho kuwa mkutano kati yake na Rais William Ruto hauwezi kuathiri kwa vyovyote uhuru wa idara ya mahakama. Akizungumza katika mkutano na majaji na viongozi wa mahakama uliofanywa kudadisi hatua walizopiga kufanikisha utendakazi wao, Jaji Mkuu alisema ushirikiano na ofisi nyingine za serikali ulikuwa wa kuhakikisha masuala yanayotatiza utendakazi wa idara ya mahakama yanashughuliwa. Hata hivyo, Koome kwenye taarifa yake ameonya dhidi ya mazungumzo yoyote ambayo huenda yakaathiri maamuzi ya kesi akisema kuwa hilo halitakubaliwa. Koome pia akisema uchunguzi zaidi unafaa kufanywa kutathmini iwapo kuna njia ya kuhakikisha kesi zinazohusu umma na zinazositisha kwa muda mipango ya serikali zinakamilishwa haraka ili kupunguza lawama kwa mahakama.
Jaji Mkuu atetea uwajibikaji na uhuru wa mahakama
- 13 Jul 2025 - People’s Liberation Party (PLP) leader Martha Karua has called for accountability following the Kenya National Commission on Human
- 13 Jul 2025 - Kimilili Member of Parliament (MP) Didmus Barasa has exposed a scheme by some of his allies demanding monetary favours to throw their weight behind his gubernatorial ambition. Speaking on Saturday, July 12, 2025, the vocal legislator revealed that some…
- 13 Jul 2025 - Kenyan entertainer and rapper Stoopid Boy has once again stirred public conversation after delivering a passionate interview on
- 13 Jul 2025 - Kenyan entertainer and digital creator Stoopid Boy has lifted the lid on the financial burden facing upcoming artists,
- 13 Jul 2025 - Former presidential aspirant Reuben Kigame has appealed to Kenyans to vote wisely in the upcoming polls. In a response on X on Saturday, July 12, 2025, Kagame implored Kenyans not to vote for political leaders who lie and want to perpetrate abductions…
- 13 Jul 2025 - Talks aimed at securing a ceasefire in Gaza are stalling over the extent of Israeli forces' withdrawal from the Palestinian enclave, Palestinian and Israeli sources familiar with the negotiations in Doha said on Saturday.
- 13 Jul 2025 - The U.N. and the Dutch foreign ministry said on Friday they had cancelled an LGBTQ-themed event in Senegal after the West African nation warned of repercussions for organisers and voiced opposition to all "promotion of the LGBTQI phenomenon".
- 13 Jul 2025 - Kapseret Member of Parliament (MP) Oscar Sudi has offered a heartfelt glimpse into his longstanding friendship with Trans
- 13 Jul 2025 - Tanzania’s official opposition party, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), has issued an update after claiming that Brenda Rupia, the party’s Director of Communications and Publicity, was detained by Tanzanian authorities at the Namanga border…
- 13 Jul 2025 - While Ruto stutters, unemployment threatens to fuel a youth revolution