Skip to main content
Skip to main content

Jamaa akubali amekuwa akiuza bangi kwa miaka 8, akamatwa na bangi ya Sh1m

  • | NTV Video
    461 views
    Duration: 1:28
    Mamlaka ya Kitaifa ya Kupambana na unywaji pombe na dawa za kulevya NACADA kupitia timu ya mashirika mengi imemkamata mshukiwa mkuu wa ulanguzi wa dawa za kulevya maarufu mjini Naivasha ambaye mtandao wake ulilenga hadi kaunti jirani zinazopakana na ya Nakuru, shehena kubwa ya bangi yenye thamani inayokadiriwa ya zaidi ya Sh1 milioni ikinaswa. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya