Skip to main content
Skip to main content

Jamii ya Endorois yapata ushindi wa kihistoria katika kesi kuhusu ardhi ya Arabal, Baringo

  • | Citizen TV
    151 views
    Duration: 1:40
    Jamii ya Endorois imepata ushindi mkubwa wa kihistoria katika kesi dhidi ya Serikali kuhusu kutangazwa kwa eneo kubwa la Arabal katika Kaunti ya Baringo kuwa ardhi ya msitu,uamuzi ambao pia unaathiri ardhi inayohifadhi Shule ya Msingi ya Loromoru, iliyobomolewa na Huduma ya Misitu Kenya (KFS) mwezi uliopita.