Skip to main content
Skip to main content

Wamiliki wa matatu watangaza mgomo Jumatatu baada ya bei ya mafuta kupanda

  • | Citizen TV
    17,296 views
    Duration: 2:21
    Wawakilishi wa vyama vya wamiliki wa matatu, magari ya uchukuzi wa watalii na bodaboda wametangaza mgomo kuwanzi jumatatu kutokana na ongezeko la juu la bei ya mafuta ya petroli. kadhalika , vyama hivyo vimetangaza kuongeza nauli kwa asilimia 50 mara moja.