Skip to main content
Skip to main content

Jamii ya Wakalenjin mji wa Kitengela yamuomboleza Ng'eno na wenzake 5

  • | Citizen TV
    1,366 views
    Duration: 1:49
    Viongozi pamoja na wakazi kutoka jamii ya Wakalenjin wanaoishi katika mji wa Kitengela kaunti ya Kajiado walikongamana na kuwasha mishumaa kumuomboleza Aliyekuwa Mbunge wa Emurua Dikirr Johana Ng’eno pamoja na watu wengine watano walioangamia kwenye ajali ya helikopta huko Nandi.