Skip to main content
Skip to main content

Jamii za Ateker zakubaliana kusitisha uvamizi mipakani

  • | Citizen TV
    168 views
    Duration: 2:06
    Viongozi kutoka jamii pana ya Ateker inayojumuisha Waturkana wa Kenya,Toposa wa Sudan kusini,Nyangatom wa Ethiopia na Karamoja wa Uganda,wamekongamana mjini Lodwar ili kuzindua rasmi baraza la wazee watakaoongoza shughuli ya uwiano na utangamano wa jamii hizo.