Je kwanini Wanajeshi wa Tanzania wataendelea kusalia nchini Msumbiji?
Ujumbe wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambao unajumuisha wanajeshi kutoka nchi nane, umesema utaondoa vikosi vyake kutoka Msumbiji ifikapo Julai 15, kwa kuzingatia mkataba wake wa miaka mitatu.
Botswana na Lesotho tayari zimewaondoa wanajeshi wao, huku Angola na Namibia zikiwa katika harakati za kuondoka.
Gazeti binafsi la Zambeze la mjini Maputo liliripoti kuwa Tanzania, ambayo inapakana na Msumbiji upande wa kaskazini, itawabakisha mamia ya wanajeshi wake.
Je kwanini Tanzania inabakiza wanajeshi wake nchini humo?
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa wa Tanzania Stergomena Tax anaelezea
#bbcswahili #tanzania #msumbiji
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
30 Jun 2025
- The inflation rates paint a picture of the economy under President Ruto.
30 Jun 2025
- Ruto joined other world leaders in Seville, Spain on Monday
30 Jun 2025
- The DCI boss addressed goons who resorted to violence and looting of property on June 25.
1 Jul 2025
- The government is now appealing to parents, religious leaders, and community elders to take a more proactive role in guiding young Kenyans toward peaceful and lawful means of civic engagement.
1 Jul 2025
- The decision, made amid mounting public pressure on the state's response to the unrest, was confirmed in a statement issued Monday by Health Cabinet Secretary Aden Duale.
1 Jul 2025
- The autopsies, conducted at Kilome MNH Hospital Mortuary, revealed that Garson Mutisya, 33, and Makau Mualuko, 23, sustained fatal gunshot wounds to the chest, with the bullets exiting through their backs.
1 Jul 2025
- A 92-year-old British man was convicted on Monday for a rape and murder committed nearly 60 years ago, in one of the UK's longest-running cold cases.
1 Jul 2025
- IG Kanja, DCI ordered to produce missing blogger
1 Jul 2025
- Inside 16-year pension tussle pitting Stanchart against its 629 ex-staff
1 Jul 2025
- Study exposes violations against women workers
1 Jul 2025
- Disputes, water crisis stall Tana rice project
1 Jul 2025
- Standard Group outlines recovery plan after Sh1.5b rights issue nod
1 Jul 2025
- State urges parents, elders to guide youth away from anarchy