- 10,648 viewsWanajeshi wa Ukraine wakiwa kwenye mpaka na Belarus wametumia ndege zisizo kuwa na rubani ili kufuatilia aina yoyote ya uchokozi unaofanywa dhidi yake na Russia. Kuna habari zinazoeleza Rais wa Russia Vladimir Putin anapanga kupeleka silaha huko Belarus bila ya kukiuka majumu yake ya kimataifa ya kutosambaza silaha za nyuklia. Ungana na mwandishi wetu akikueleza hatua ambayo Russia inachukua ya kupeleka silaha kali na kutoa mafunzo ya kuzitumia huko Belarus. Endelea kusikiliza... #wanajeshi #ukraine #belarus #ndege #uchokozi #russia #silaha #vladimirputin #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Je, unajua sababu zilizopelekea Putin kuhamisha silaha za nyuklia Belarus?
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 19 Apr 2024 - Russia is making overseas travel harder for some officials due to fears that foreign powers may try to gain access to state secrets during the worst crisis in relations with the West for more than 60 years, nine sources told Reuters.
- 19 Apr 2024 - Ageing air defences have left Iran vulnerable to an Israeli attack if Prime Minister Benjamin Netanyahu decides to ignore global pressure not to retaliate directly for the unprecedented drone and missile salvoes of Saturday night.
- » When I leave, let Kenyans judge me: Profile of CDF Francis Ogolla, the General who had big dreams for KDF19 Apr 2024 - At 60 he was promoted to a four-star General and appointed CDF.
- 19 Apr 2024 - General Ogolla was to celebrate 40 years in KDF on Wednesday.
- 19 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes The government is planning a crackdown on traders and outlets selling sub-standard food to consumers, Agriculture Principal Secretary David Rono […]
- 19 Apr 2024 - Her talent was evident early on when she guided the U23 team to victory in the 2022 FIBA Nations League Africa, earning a spot in the World Championships held in Romania.
- 19 Apr 2024 - Tebogo believes that the one day tour will not only help athletes get in shape for the season but also prepare them well for the Paris 2024 Olympics.
- 19 Apr 2024 - It has been 10 years since the Democratic Republic of Congo side, TP Mazembe — former FIFA Club World Cup finalists — reached the final.
- 19 Apr 2024 - “In August we will start early preparations for the 2028 and 2032 Olympics. Early preparations will be key to ensure we post good results,” Mutuku stated.
- 19 Apr 2024 - Fixtures secretary Joseph Amoko said all regular season league fixtures are programmed to end on May 5.