- 101 viewsJe, unafahamu namna Zimbabwe ilivyokuwa inazalisha mahindi kwa ajili ya kupika uji mzito, ambao unatumika kama chakula kikuu nchini? Lakini hivi sasa shamba hili linatumika kwa kilimo nafaka ndogondogo. Ungana na mwandishi wetu akieleza namna wakulima nchini humo wanavyonufaika na kilimo hiki mbadala ambacho kina wawezesha wakulima kuzalisha zao hilo kwa urahisi. Endelea kusikiliza... #zimbabwe #mahindi #uji #chakula #shamba #nafaka #wakulima #kilimo #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Je, unajua zao la nafaka lililokuwa linazalishwa zaidi Zimbabwe
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 Matukio ››
- 26 Apr 2024 - Jonathan Moi's widow made a public appeal, asking well-wishers to donate money for her son's treatment.
- 26 Apr 2024 - Tana River has experienced little rainfall but flash floods have displaced many families.
- 26 Apr 2024 - The properties have been put up for sale due to multi-million loan arrears.
- 26 Apr 2024 - Wanjohi failed to turn up for questioning.
- 26 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes On Wednesday, a report on secondary schools provided insights into drivers of learning and academic performance. It pointed to inequalities […]
- 26 Apr 2024 - Economic freedom in Kenya, legal rights in Rwanda, community action in Uganda to breath new life into domestic abuse survivors
- 26 Apr 2024 - Raila met with the Norwegian Ambassador to Kenya and the Australian High Commissioner to Kenya.
- 26 Apr 2024 - Prison breaks have become a major security concern in Nigeria.
- 26 Apr 2024 - The lawmakers said the consequences of governor impeachments are dire.
- 26 Apr 2024 - Nakhumicha says striking health workers will not be paid for failing to show up at their work stations.