Jeshi la Israeli laendeleza operesheni, vifaru vyasonga mbele
Jeshi la Israeli limetoa kanda ya video Jumatatu (Julai 8) ambayo ilisema inaonyesha majeshi yake yakifanya operesheni huko Gaza, wakati matumaini ya sitisho la mapigano kati ya Israel na Gaza yakifufuliwa.
Reuters haikuweza kupata uthibitisho huru wa sehemu au tarehe ambayo video hiyo ilipochukuliwa.
Mapema Jumatatu, majeshi ya Israeli yaliushambulia mji wa Gaza City na vifaru vilisonga mbele kuingia katikati ya mji huo kutoka maeneo tofauti katika kile wakazi walisema ni moja ya mashambulizi makubwa sana tangu Oktoba 7.
Idara ya Huduma za Dharura kwa Raia Gaza ilisema inaamini darzeni ya watu waliuawa lakini timu za huduma za dharura zilikuwa haziwezi kuwafikia kwa sababu ya mashambulizi yanayoendelea katika eneo.
Jeshi la Israeli lilisema katika taarifa yake ilikuwa inafanya operesheni dhidi ya miundombinu ya wanamgambo katika Ukanda wa Gaza, iliweza kuwaondoa zaidi ya wapiganaji wa Palestina 30 ambao walikuwa ni tishio kwa majeshi ya Israeli.
Mashambulizi mapya ya Israeli yamekuja wakati Misri, Qatar na Marekani zimezidisha juhudi ili kupatanisha makubaliano ya sitisho la mapigano kati ya Israel na kikundi cha wanamgambo wa Palestina Hamas wakati vita vya Gaza vikiingia mwezi wa kumi. - Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
4 Jul 2025
- Kenya Met boss also listed regions to receive rain.
4 Jul 2025
- The teachers' payroll consumes over Ksh400 billion in cash.
4 Jul 2025
- Applicants have been advised to visit the centres that are situated across the country.
5 Jul 2025
- Syrian rescuers were evacuating residential areas in the coastal Latakia province because of major forest fires, authorities said on Friday.
5 Jul 2025
- More than 500 people have been killed in the vicinity of the US- and Israel-backed Gaza Humanitarian Foundation's sites since late May, the United Nations said Friday.
5 Jul 2025
- Burkina Faso has withdrawn the licences of four foreign NGOs to operate in the junta-led country and suspended two other associations, according to decrees seen by AFP on Friday.
5 Jul 2025
- A sombre wave of grief and outrage swept through mourners gathered at Nyawango Primary School for the burial of Albert Ojwang, a high school teacher and blogger whose controversial death has ignited national outcry and calls for justice. Ojwang’s coffin…
5 Jul 2025
- The East Africa Hub Director for Natural Justice Elizabeth Kariuki has criticised the increasing number of secretive deals signed between foreign companies and local communities in Kenya involving the country’s natural resources, calling them “ridiculous…
5 Jul 2025
- The family of Albert Ojwang has now appealed to Kenyans to continue with the push for justice for the slain teacher.
5 Jul 2025
- Kenya is staring at a looming constitutional crisis that threatens to derail the 2027 General Election. Lawyers are warning that the entire results could be nullified by the courts if the General Election is conducted before the Independent Electoral and…
5 Jul 2025
- Gachagua on police radar for allegedly funding protests
5 Jul 2025
- Family mourns their only child killed during Gen Z protest
5 Jul 2025
- Two police officers have been convicted of murder by the Eldoret High Court for the torture and subsequent killing of Denis Lusava, whose body was dumped in River Nzoia in October 2022.