Jeshi la Israeli laendeleza operesheni, vifaru vyasonga mbele
Jeshi la Israeli limetoa kanda ya video Jumatatu (Julai 8) ambayo ilisema inaonyesha majeshi yake yakifanya operesheni huko Gaza, wakati matumaini ya sitisho la mapigano kati ya Israel na Gaza yakifufuliwa.
Reuters haikuweza kupata uthibitisho huru wa sehemu au tarehe ambayo video hiyo ilipochukuliwa.
Mapema Jumatatu, majeshi ya Israeli yaliushambulia mji wa Gaza City na vifaru vilisonga mbele kuingia katikati ya mji huo kutoka maeneo tofauti katika kile wakazi walisema ni moja ya mashambulizi makubwa sana tangu Oktoba 7.
Idara ya Huduma za Dharura kwa Raia Gaza ilisema inaamini darzeni ya watu waliuawa lakini timu za huduma za dharura zilikuwa haziwezi kuwafikia kwa sababu ya mashambulizi yanayoendelea katika eneo.
Jeshi la Israeli lilisema katika taarifa yake ilikuwa inafanya operesheni dhidi ya miundombinu ya wanamgambo katika Ukanda wa Gaza, iliweza kuwaondoa zaidi ya wapiganaji wa Palestina 30 ambao walikuwa ni tishio kwa majeshi ya Israeli.
Mashambulizi mapya ya Israeli yamekuja wakati Misri, Qatar na Marekani zimezidisha juhudi ili kupatanisha makubaliano ya sitisho la mapigano kati ya Israel na kikundi cha wanamgambo wa Palestina Hamas wakati vita vya Gaza vikiingia mwezi wa kumi. - Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
13 May 2025
- This is not the first time a petition is being filed against the DCJ.
13 May 2025
- Kimani Ichung'wah, who has been receiving criticism from Kenyans, has asked for forgiveness.
13 May 2025
- The latest report highlights a paradigm shift from the traditional income-generating investments to value-driven luxuries.
14 May 2025
- Safaricom CEO Peter Ndegwa has addressed concerns about the company's involvement in the Social Health Authority (SHA) system, clarifying that its role is limited to the digitisation of the process.
14 May 2025
- Sean "Diddy" Combs' former girlfriend, Casandra Ventura, the star prosecution witness at the hip-hop mogul's sex trafficking trial, testified on Tuesday that her music career began to suffer as she increasingly spent her time participating in days of…
14 May 2025
- South Africa's unemployment rate rose in the first quarter of this year, with statisticians fretting that increasing numbers of people appear to have given up looking for work.
14 May 2025
- Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu said the military will enter Gaza "with full force" in the coming days, despite ongoing ceasefire efforts and the release of a US-Israeli hostage from the war-ravaged territory.
14 May 2025
- Finland President Alexander Stubb has hailed the historical Kenyan Gen Z movement witnessed in June last year during the anti-government protests, saying it was a momentous display of democracy.
14 May 2025
- The 20,000 intern teachers employed by the Teachers Service Commission (TSC) will have to work on a temporary basis for at least two years after the commission was denied budgetary allocations to employ them on permanent and pensionable terms. The…
14 May 2025
- Opposition leaders are now claiming that the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) nominees presented to Parliament for approval to take up management of the electoral body are a project to rig the 2027 General Election.
14 May 2025
- Court: Muturi resigned, not fired as Ruto claimed
14 May 2025
- Public participation on Finance Bill begins
14 May 2025
- We acted within our mandate as UoN council, Anangwe team says