Skip to main content
Skip to main content

Jeshi la Uganda lakanusha kuwazuilia wanaharakati wa Kenya waliopotea nchini humo

  • | Citizen TV
    676 views
    Duration: 2:12
    Wanajeshi wa Uganda wamekanusha kujua waliko wanaharakati wa Kenya Bob Njagi na Nicholas Oyoo waliotoweka nchini humo wiki tatu zilizopita. Taarifa ya jeshi katika mahakama kuu ya Kampala imesema wamefanya uchunguzi na kuwatafuta wawili hao kwenye vituo vyao, ila hawako mikononi mwao