Juhudi za kutafuta amani Sudan Kusini, katika Dira ya Dunia TV
Ujumbe wa ngazi ya juu wa Umoja wa Afrika umefika nchini Sudan Kusini kwa lengo la kufanya mazungumzo ya kuzuia kuzuka upya kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe. Mpango huo unafuatia kuzuiliwa kwa Makamu wa Kwanza wa Rais Riek Machar, ambaye ameshutumiwa na serikali ya Rais Salva Kiir kwa kujaribu kuchochea uasi-madai yanayohusishwa na mapigano ya hivi karibuni katika jimbo la Upper Nile. Mapema hii leo, Rais wa Uganda Yoweri Museveni alikutana na Rais Kiir Juba. Maelezo mahususi ya majadiliano hayo hayajawekwa wazi, lakini yale yanayoendelea nchini Sudan Kusini yameibua wasiwasi kuhusu uthabiti wa mkataba wa amani uliotiwa saini mwaka 2018.
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
16 Jun 2025
- The police constable who was first arrested in connection to Ojwang's death has spoken up.
16 Jun 2025
- The weatherman has also listed regions that are expected to experience cold temperatures.
16 Jun 2025
- The late Albert Ojwang's father revealed details of a phone conversation with the president.
17 Jun 2025
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has arraigned the former Garissa County Government Chief Protocol Officer over claims of forging academic certificates to fraudulently secure employment and siphon millions in public funds.
17 Jun 2025
- Speaking publicly for the first time since the call, Meshack Ojwang’, father to the deceased, revealed that the Head of State personally reached out to offer his sympathies and pledged KSh 2 million to support the grieving family.
17 Jun 2025
- Lagat’s journey from humble beginnings to the upper echelons of law enforcement paints the portrait of a man who steadily climbed the ranks of the National Police Service through technical skill, strategic appointments, and academic discipline.
17 Jun 2025
- Embattled Lagat bows to pressure, leaves office
17 Jun 2025
- Mukhwana: I was following my boss' orders
17 Jun 2025
- How 'Standard' covered the Ojwang' murder
17 Jun 2025
- Jacaranda wins first leg of league championships
17 Jun 2025
- Kenya's Divas show grit in loss to Namibia
17 Jun 2025
- Men should be at the forefront if fight against femicide is to be won
17 Jun 2025
- Collaboration, knowledge sharing is key in shaping Kenya's urban future