Juhudi za kutafuta amani Sudan Kusini, katika Dira ya Dunia TV
Ujumbe wa ngazi ya juu wa Umoja wa Afrika umefika nchini Sudan Kusini kwa lengo la kufanya mazungumzo ya kuzuia kuzuka upya kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe. Mpango huo unafuatia kuzuiliwa kwa Makamu wa Kwanza wa Rais Riek Machar, ambaye ameshutumiwa na serikali ya Rais Salva Kiir kwa kujaribu kuchochea uasi-madai yanayohusishwa na mapigano ya hivi karibuni katika jimbo la Upper Nile. Mapema hii leo, Rais wa Uganda Yoweri Museveni alikutana na Rais Kiir Juba. Maelezo mahususi ya majadiliano hayo hayajawekwa wazi, lakini yale yanayoendelea nchini Sudan Kusini yameibua wasiwasi kuhusu uthabiti wa mkataba wa amani uliotiwa saini mwaka 2018.
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
6 Aug 2025
- The warning comes as the government makes changes to the sector.
6 Aug 2025
- Ruto made the appointments on Wednesday evening.
6 Aug 2025
- The nominee is awaiting Parliament's approval.
6 Aug 2025
- Two civil society organisations have moved to court to challenge the nomination of Dr. Duncan Oburu Ojwang as Chairperson of the KNCHR, citing a violation of constitutional gender provisions.
6 Aug 2025
- So, what really triggered the call to reassess Kenya’s US non-NATO major ally status?
6 Aug 2025
- President William Ruto and ODM party leader Raila Odinga have formed a five-member committee tasked with implementing the agenda of the broad-based government and the National Dialogue Committee (NADCO) report.
6 Aug 2025
- Captain Ibrahim Traore has made shockwaves across Africa and the wider world. Burkina Faso’s interim President is hailed as a revolutionary leader, extricating his country from the clutches of French colonial rule.
6 Aug 2025
- A Kenyan-born pastor and her family are facing deportation to their homeland after their application for permanent residency on humanitarian and compassionate grounds was denied.
6 Aug 2025
- A woman has been found guilty of killing her lover back in 2020 in Nanyuki County.
6 Aug 2025
- As captured during EACC survey
6 Aug 2025
- National Police Service says it's treating the matter with “the urgency and gravity” it deserves
6 Aug 2025
- Human rights activists are calling for the disbandment of the National Police Service (NPS) following damning revelations in the latest EACC corruption index, which ranks the security organ among the most corrupt institutions in the country.
6 Aug 2025
- Cabinet Secretary for Public Service Geoffrey Ruku has issued a stern warning to corrupt public officers, calling on the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) to swiftly arrest all individuals implicated in recent graft reports.