Skip to main content
Skip to main content

Juhudi za uokoaji zaendelea South C huku waziri akilaumu ukiukaji wa sheria za ujenzi

  • | Citizen TV
    13,619 views
    Duration: 5:58
    Shughuli za kuwaokoa watu wanne waliokwama kwenye vifusi vya jengo lililoporomoka mtaani South C zinaendelea huku mtu mmoja akiokolewa. Jengo hilo la ghorofa 15 liliporomoka leo alfajiri huku waziri wa mipango maalum Geoffrey Ruku akilaumu ukiukaji sheria katika ujenzi wa jengo hili.