Skip to main content
Skip to main content

Kalonzo Musyoka aitaka ODM kujihadhari na serikali

  • | Citizen TV
    2,101 views
    Muungano wa Upinzani umewataka viongozi wa chama cha ODM kujirejelea na kutathimini Upya uwepo wao ndani ya Serikali. Wakiongozwa na kinara wa wiper kalonzo musyoka na kinara wa dap-k eugene wamalwa, viongozi hao wamewataka wanaODM kufuata azma ya hayati Raila Odinga Kuhusu ODM kuwa na Mgombea wa Urais kwenye uchaguzi wa mwaka wa 2027.