Skip to main content
Skip to main content

Kamanda wa polisi Kaskazini Mashariki asema zoezi la usajili wa makurutu wa polisi litakuwa huru

  • | Citizen TV
    236 views
    Duration: 1:45
    Kamanda wa Polisi wa eneo la Kaskazini Mashariki, Papita Ranka, amewahakikishia wakazi wa eneo hilo kuwa mchakato wa uajiri wa polisi unaotarajiwa kuanza hivi karibuni utakuwa huru na wa haki.