Skip to main content
Skip to main content

Kamati ya Seneti yazua masuali kuhusu hali ya afya katika kaunti ya Makueni

  • | Citizen TV
    953 views
    Duration: 3:32
    Kamati ya afya katika bunge la seneti imezuru kaunti ya Makueni na kuibua maswala kadhaa wanayotaka yaangaziwe kwani yanalemza utoaji wa huduma za afya. Kati ya masuala yalioibuliwa ni pamoja na hospitali ya rufaa ya Makueni na ile ya Mukuyuni kutokuwa na mahala salama pa kuchomea taka za hospitali, ukosefu wa magari ya wagonjwa ya kutosha kati ya miongoni mwa mengine.