Skip to main content
Skip to main content

Kamishna wa Kaskazini Mashariki John Otieno azuru Mandera

  • | Citizen TV
    96 views
    Kamishina wa Kaskazini Mashariki John Otieno ameongoza kamati ya usalama eneo hilo kuzuru kaunti ya Mandera kutathmini hali ya usalama baada ya tetezi kutoka kwa wenyeji kuhusu kuwepo kwa wanajeshi wa Jubaland.