- 191 viewsUpendo Kibona, Mkurugenzi wa Kampuni ya Lucid Dream Limited, anasema kuwa madini ya Tanzania yanapouzwa ndani pekee, thamani yake inabaki kuwa ndogo. Alisisitiza kuwa ni muhimu wanunuzi wa kimataifa washiriki moja kwa moja kwenye minada nchini. "Tunaogombania haya madini ni Watanzania sisi wenyewe. Wale watu wa nchi za nje wakija hapa Tanzania kuyanunua haya madini, ndio pale tutapata masoko ya kuyauza nje ya nchi. Lakini yanaponunuliwa kwa Watanzania wenyewe, inakuwa ni ngumu kuwa na thamani kubwa," alisema Kibona. Wanunuzi wanasema kuwa kuanzishwa kwa mnada huo wa kidijitali utasaidia kurudisha na kuongeza thamani ya madini nchini kwa kuimarisha ushindani sokoni na hivyo kusaidia wanunuzi hao kupata bei nzuri. Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania. #tanzania #mfumo #kidigitali #madini #ununuzi #uuzaji #sokolabidhaa #nicholauskaserwa #mererani #manyara #mkoa #voa #voaswahili #luciddreamltd
Kampuni ya Lucid Dream Ltd inasisitiza umuhimu wa wanunuzi wa nje
- 17 Jun 2025 - Siaya Resident Magistrate’s Court has ordered blogger Michael Oduor, also known as Mike Ochieng, to pay Ksh.3 million in general damages for defamation.
- 17 Jun 2025 - Anti-riot police officers on Tuesday opened fire at a hawker selling face masks at close range along Moi Avenue in Nairobi CBD during the demonstrations calling for the resignation of Deputy Inspector General Eliud Lagat.
- 17 Jun 2025 - Court rules that Mr Wilfred Nyagudi suffered reputational harm as a result of the posts which first appeared on Facebook.
- 17 Jun 2025 - Karua said killing of man in CBD was “another extra judicial execution.”
- 17 Jun 2025 - The matatu operators promised to halt transport services until their demands are met.
- 17 Jun 2025 - He asked the former Deputy President to apologise to the Kamba community
- 17 Jun 2025 - NAIROBI CBD protests: Man fatally shot on Moi Avenue; tension high outside Bliss Medical Centre where he was rushed after the incident.
- 17 Jun 2025 - City car dealer and businessman Joseph Kairo Wambui, alias Khalif Kairo has filed an application seeking the recusal of Senior Principal Magistrate M. Murage from presiding over his ongoing criminal trial, citing alleged bias and a compromised…
- 17 Jun 2025 - Ndung'u and daughter savour Mombasa victory
- 17 Jun 2025 - Protests on Tuesday took a violent turn after goons stormed the Nairobi CBD.