- 275 viewsKanye West akosolewa kwa kuvaa fulana ya white lives matter na pia aliwahi kutoa kauli ya utata kuwa utumwa ulikuwa ni chaguo. Lakini hivi sasa ameingia tena katika mzozo mwengine na kufungiwa akaunti zake za Twitter na Instagram kutokana na mitandao hiyo ya kijamii ikidai posti zake zinakiuka sera zao. - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kanye West aingia tena katika mzozo, Twitter na Instagram zamfungia
- 29 Aug 2025 - Seven more bodies have been exhumed at Kwa Binzaro village in Kilifi county, with an additional 54 body parts collected scattered across the forest.
- 28 Aug 2025 - Confusion has gripped the transition to the electronic government procurement system championed by the National Treasury, with the Council of Governors now demanding that Treasury revert to the previous procurement system or face litigation.
- 28 Aug 2025 - The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) will resume the continuous voter registration exercise from Monday, August 31, 2026, across the country.
- 28 Aug 2025 - The Ministry of Education has banned all extra-curricular and social activities in schools during the Third Term to allow candidates to focus fully on national examinations.
- 28 Aug 2025 - Speaking on Thursday afternoon when he presided over the Murang’a Technical Training Institute Graduation ceremony in Maragua, Murang’a County, the DP said the government takes education seriously because it is key in economic development and…
- 28 Aug 2025 - The State doctor stated the need for further assessment of Jackson Wangigi.
- 28 Aug 2025 - The State doctor stated the need for further assessment of Jackson Wangigi.
- 28 Aug 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has launched investigations into members of the Busia County Assembly Service Board over allegations of abuse of office, procurement irregularities, and theft of public funds.
- 28 Aug 2025 - Human rights activist Boniface Mwangi has penned a heartfelt appreciation to supporters for positively responding to his announcement of
- 28 Aug 2025 - Ruto said the first batch of 54, 000 youths have been identified and will receive the funds and training from September.