Skip to main content
Skip to main content

Katibu wa Wizara ya Leba Shadrack Mwadime atoa vyeti vya elimu isiyo rasmi

  • | Citizen TV
    162 views
    Duration: 1:37
    Katibu katika Wizara ya Leba na Maendeleo ya Ujuzi, Shadrack Mwadime, ameongoza hafla ya kuwatunuku vyeti wahitimu 147 wa mpango unaolenga kuboresha na kuinua hadhi ya watoa huduma katika sekta isiyo rasmi.