- 319 views
Kaunti ya Bungoma inaajiri madaktari na wauguzi mia mbili kama njia mojawapo ya kuimarisha huduma za afya kaunti hiyo. Kulingana na waziri wa afya Dkt. Andrew Wamalwa hatua hiyo imearifiwa na uhaba wa madaktari katika kaunti hiyo. Aidha inaaminika kuwa kuajiriwa kwa wauguzi hao na madaktari kutawasaidia wangojwa ambao wamelazimika kusafiri mbali kutafuta matibabu. Madaktari hao pia wataimarisha kiwango cha afya ya msingi kwa wakaazi katika pana la magharibi.
Kaunti ya Bungoma kuajiri madaktari na wauguzi mia mbili
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- - Doctors social ››
- 25 Apr 2024 - The assessment will replace the Kenya Certificate of Primary Education examinations.
- 25 Apr 2024 - Survey shows schools have poor facilities and high levels of teacher and student absenteeism.
- 25 Apr 2024 - Several Marsabit County top officials were also taken for questioning.
- 25 Apr 2024 - More than 10 people feared dead in Nairobi as President Ruto directs the formation of response team.
- 25 Apr 2024 - Deby’s top challenger is Succes Masra, an economist and opposition leader.
- 25 Apr 2024 - According to data by Red Cross, 24, 741 households have been adversely affected with 11,206 getting displaced
- 25 Apr 2024 - The bill now moves to the senate, where there is a good chance it will pass.
- 25 Apr 2024 - The new taxi boat is powered by a solar-electric engine
- 25 Apr 2024 - Out of the seven qualifiers, three including Nancy Chelangat (1,500 T11), Kenya’s sole medallist from the 2020 Tokyo Paralympics, Mary Waithera (1,500 T11) and Wesley Sang (1,500 T46) are from athletics.
- 25 Apr 2024 - Peres Jepchirchir and Alexander Munyao clinched the men's and women's titles in London.