- 242 views
Serikali ya kaunti ya Kilifi imeanzisha kampeni ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga katika maeneo ya mashinani ili kusaidia kukabiliana na changamoto zaidi. Lengo la kampeni hiyo ni kutoa mafunzo kwa wakazi katika wadi zote 35 kuhusu njia bora za kubuni miradi endelevu ya kupunguza athari za mabadiliko ya hali ya anga. Afisa Mkuu katika idara ya Uvuvi Zamzam Ali amesema idara yake imeanza kutoa mafunzo kwa wakaazi wa wadi 14 katika Kaunti Ndogo tatu. Mpango mzima ni kusaidia miradi ambayo inahusu mabadiliko ya hali ya anga kama vile kupanda mikoko, na kuongeza misitu.
Kaunti ya Kilifi imeanzisha uhamasisho kwa wakazi kuhusu mabadiliko ya tabianchi
- - Duniani Leo ››
- - 🔴LIVE|| NEWS NOW ››
- - Duniani Leo ››
- 1 May 2024 - World Bank President Ajay Banga said he expects donor countries to meet a request by African leaders to make record contributions to a low-interest facility for developing nations, saying these were not handouts but investments in the future.
- 1 May 2024 - A 35-year-old man has been locked up at Bondo police station after he was arrested in possession of seeds of bhang.
- 1 May 2024 - The Islamic State group has claimed a gun attack on a minority Shiite mosque in western Afghanistan that killed six people on Monday.
- 1 May 2024 - Florence Akinyi, a resident, said they encountered snakes of different types and sizes on a daily basis.
- 1 May 2024 - Former Murangá Governor Mwangi Wa Iria has been remanded at Industrial Area Prison after pleading not guilty to various corruption charges including abuse of office, conflict of interest, unlawful acquisition of public property and money laundering.
- 1 May 2024 - The highways authority noted that the crackdown will affect all highways across the country.
- 1 May 2024 - "Niko na watoto kwa nyumba nisaidieni. Nataka tu kutoka na watoi."
- 1 May 2024 - A year on, President's vow to ratify ILO conventions that would shield the workers from exploitation and abuse, gathers dust
- 1 May 2024 - The Widows Protection Bill is set to be tabled in Siaya County Assembly on May 7
- 1 May 2024 - Says government has 10 camps for displaced persons and they are resettling.