Skip to main content
Skip to main content

Kaunti ya Wajir kwa ushirikiano na UNICEF yazindua mpango wa kuboresha elimu jumuishi

  • | Citizen TV
    175 views
    Duration: 1:46
    Kaunti ya Wajir kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, imezindua rasmi mpango wa kuboresha upatikanaji wa elimu jumuishi.