17 Sep 2026 1:41 pm | Citizen TV 48 views Kaunti za Marsabit na Turkana zinatarajiwa kupokea ufadhili wa ziada wa Euro milioni tisa, kwa ajili ya kuimarisha uwezo wa kukabiliana na ukame na athari za mabadiliko ya tabianchi katika maeneo hayo mawili kame.