Skip to main content
Skip to main content

Kaunti zaanza kuongeza ufadhili wa mpango wa nyota kwa vijana

  • | Citizen TV
    150 views
    Duration: 1:06
    Huku serikali kuu ikiendelea kuwawezesha vijana kupitia mpango wa nyota kote nchini, baadhi ya serikali za kaunti zimeanza kuongeza kiwango cha ufadhili kwa wanufaika kama njia ya kuimarisha uwezeshaji wa vijana.