Idadi ya mabinti ambao wanaendelea kukumbatia ubunifu ili kujiariri inaendelea kuongezeka kila uchao kama mojawapo ya njia za kujitafutia riziki. Kwenye makala ya juma hili ya Kazi ni Kazi, Fredrick Muoki anamwangazia Modesty Kathure, ambaye amekumbatia kazi ya kusanifisha mmea wa shubiri na kutengeneza bidhaa za kujirembesha. Tazama.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive