Sherehe zilitanda katika shule nyingi za upili na hata nyumbani kote nchini kufuatia matokeo ya hivi punde ya KCSE. Watahiniwa hao, ambao sasa ni wanafunzi wa zamani wa shule za upili wameonyesha matumaini ya kujiunga na elimu yao ya juu baada ya kuzoa alama za kupigiwa mfano katika mitihani yao. Wakufunzi wao kwa upande wao wakiahidi kuendelea kuwaunga mkono katika kufanya maamuzi sahihi kuhusu kozi za kuendelea katika viwango vyao vya elimu ya juu,huku wakiwataka wanafunzi wengine kuiga wale ambao wamepata matokeo bora.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive