Skip to main content
Skip to main content

KENHA, NLC na mwana kandarasi wafanya kikao kuzungumzia fidia kwa wakazi 300 Mombasa

  • | Citizen TV
    210 views
    Mamlaka ya ujenzi wa barabara kuu nchini - KENHA, tume ya ardhi - NLC - na mwana kandarasi wa barabara ya Mombasa hadi Malindi wanatazamiwa kufanya kikao cha kutatua mgogoro wa ulipaji fidia kwa zaidi ya wakazi 300 wanaoishi kando ya barabara hiyo. Baadhi ya wakazi wamekuwa wakipinga fidia iliyopendekezwa na kutaka uwazi wa shughuli hiyo.