Skip to main content
Skip to main content

Kenya ina imani ya kutimiza matakwa ya kuandaa AFCON

  • | Citizen TV
    553 views
    Duration: 1:30
    Serikali imeeleza kuwa ina imani ya kufikia muda uliowekwa na shirikisho la soka barani afrika (CAF) kuhusiana na maandalizi ya kuandaa michuano ya kombe la mataifa ya afrika (AFCON) mwaka ujao.